
March 2016
April 2016
Chuo Kikuu cha Kiislamu nchini Misri, kimelaani vikali jinai ya kibaguzi na chuki dhidi ya dini ya Uislamu iliyofanywa na mtu mmoja mwenye misimamo ya kufurutu ada mjini Brussels, Ubelgiji dhidi ya mwanamke mmoja aliyekuwa amevaa vazi la staha la hijabu nchini humo.
April 2016
Mwakilishi wa Chuo Kikuu cha Kimataifa cha Al Mustafa (SAW) nchini Senegal amekutana na viongozi wa Wakristo nchini humo na kuwakabidhi zawadi ya nakala ya Qur’ani iliyotarjumiwa kwa lugha ya Kifaransa.
April 2016
Akizungumza baada ya Waziri wa Fedha na Mipango kuwasilisha mapendekezo ya ukomo wa bajeti hiyo pamoja na mpango wa maendeleo kwa mwaka huo, Kiongozi wa Kambi Rasmi ya Upinzani Bungeni, ambaye pia ni Mbunge wa Hai, Freeman Mbowe (Chadema), alisema mambo mema yamefanywa.