Al Azhar yalaani mauaji dhidi ya mwanamke mva

Chuo Kikuu cha Kiislamu nchini Misri, kimelaani vikali jinai ya kibaguzi na chuki dhidi ya dini ya Uislamu iliyofanywa na mtu mmoja mwenye misimamo ya kufurutu ada mjini Brussels, Ubelgiji dhidi ya mwanamke mmoja aliyekuwa amevaa vazi la staha la hijabu nchini humo.